Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Maecenas mattis nisi felis, vel ullamcorper dolor. Integer iaculis nisi id nisl porta vestibulum.

Wednesday, 23 January 2013

Mdada Vanesa Mdee amekuja kuwashika

Whaoooo! she hold her first  Press meeting today at Club 327 

Alijibu maswali vema na kupata muda wa kutosha wa kufahamiana na waandishi wa habari

Ki ukweli yupo vema katika kujieleza na kujibu maswali

Omary akawasikilizisha waandishi ngoma ya Vanessa iitwayo Closer ni balaa





Hapooo Chacha inaelekea asa hivi atakula dili la Hennessy manake yani anaonekana amekaa kibiashara kwelikweli mrembo huyu


Habari Kamilina Eve wa Tzdadaz 


Mwanadada wa kileo Vanesa Mdee leo amefanya mkutano na waandishi wa habari kuelezea mkakati wake katiak medani ya muziki wa kizazi kipya ambao ameianza kwa nguvu kubwa.

Katika mkutano wake huo wa leo Vanesa alisema kuwa amejipanga kuhakikisha kuwa anawakilisha vema ndani na nje ya nchi kwa kutumia wataalamu wa muziki ambao amesema kuwa wana uwezo mkubwa katika kutengeneza aina ya muziki anaoutaka.

Alifafanua kuwa kusema kuwa anatarajia mwaka huu kabla ya kumalizika atafanya nyimbo nyingi na wasanii wa nje hasa wakiwa wa nchini Nigeria kuwa kuwa anauwezo wa kufanya vema katika medani hiyo.

                                Note:                  Zaidi tutawafahamisha kesho mchana
z

1 comment: