Ubunifu wa mavazi ni moja kati ya sekta ambazo zimeajili akina dada wengi sana
| Mbunifu wa mavazi gwiji nchini Evelyin Rugemalila ni mmoja kati ya akinadada waliojiajili katika sekta ya ubunifu na wanafanya vema sana |
| Wapo akinadada ambao ni wanamitindo na hivyo kujiongezea kipato kwa kupitia fani hiyo ya uanamitindo |
| Mfano ni kama huyu ambapo hulipwa fedha kwa ajili ya kupita kuonesha mavazi ya wabunifu mbalimbali jukwaani |
| Ni mzurii !!! |
| Huyu ni mwanafunzi wa Tumaini Alexia William akionesha mavazi ya Mustapha Hasanali |

0 comments: