Kajala awahasa wanawake kuepuka kupewa vya bure
Kajala akiwa
na marafiki zake mbalimbali akiwamo Beny Kinyaiya na wengineo wadau wa filamu
nchini, Kajala aliwataka wanawake kuepuka kupokeza zawadi kutoka kw awatu wasiowafahamu.
Aliiambia safu hii kuwa kwa sasa amejifunza mengi kufuatia mambo yaliyomkuta yeye akiwa kama mwanamke aliyekuwa akipewa fedha bila ya kujua anaempatia
0 comments: