TOP NEWS

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Maecenas mattis nisi felis, vel ullamcorper dolor. Integer iaculis nisi id nisl porta vestibulum.

Sunday 27 January 2013

Wasanii wadada walivyojili katika usiku wa mastaa wa Bongo Movie

Mamaa Batuli (kulia) na Rose Ndauka wakiwa katika Red Carpet

Prezidaa Steve Nyerere

Mh Batuli kweli unajitaidi mamaa kwa kujichanganya

Batuli, Esther wa Perfect Lady Saloon (kushoto) na Snura katikati

Rose Ndauka (kushoto) na Esther

Ahaa huyu dada alidhamini Miss Kinondoni na ndie anampamba Miss Tanzania kwa sasa saluni yake ipo Kinondoni pale opposite na Open University

Mh yani huyu Shilole akiwa na jinji Kabula wakaanza mauno yao

Mheshimiwa mgeni rasmi Jerry Silaa akiwa katika picha ya pamoja na Batuli


Hawa wadada wa Shilole nao jamaniii

Shiloleee kamua mamaa ya nguvu

Haya vijana wa Mbagala walipiga deo la buree

0 comments: