Wasanii wadada walivyojili katika usiku wa mastaa wa Bongo Movie
Mamaa Batuli (kulia) na Rose Ndauka wakiwa katika Red Carpet |
Prezidaa Steve Nyerere |
Mh Batuli kweli unajitaidi mamaa kwa kujichanganya |
Batuli, Esther wa Perfect Lady Saloon (kushoto) na Snura katikati |
Rose Ndauka (kushoto) na Esther |
Ahaa huyu dada alidhamini Miss Kinondoni na ndie anampamba Miss Tanzania kwa sasa saluni yake ipo Kinondoni pale opposite na Open University |
Mh yani huyu Shilole akiwa na jinji Kabula wakaanza mauno yao |
Mheshimiwa mgeni rasmi Jerry Silaa akiwa katika picha ya pamoja na Batuli |
Hawa wadada wa Shilole nao jamaniii |
Shiloleee kamua mamaa ya nguvu |
Haya vijana wa Mbagala walipiga deo la buree |
0 comments: