TOP NEWS

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Maecenas mattis nisi felis, vel ullamcorper dolor. Integer iaculis nisi id nisl porta vestibulum.

Wednesday 16 January 2013

Mdada mwenzetu ajinyonga Tabata Barakuda eneo la karibia na msikitini



Kwanza samahanini  kwa hii picha  inahusu huyu dada wa kazi za nyumbani wa eneo la Tabata Barakuda aliyejiua jana saa moja usiku na bado chanzo hakijulikani

Umati wa watu ulikusanyika kujua nini chanzo

Watu wakiuchungulia mwili wa marehemu

Inasemekana kuwa hilo ni tukio la pili kujitokeza katika eneo hilo

Maaskari Polis wa kituo cha Rozana wakichukua maelezo

Hapa kazi yao ikiendelea ya kuhoji wahusika

Machela ya kubebea mwili wa marehemui ilifika

Waliuingiza mwili wa mdada huyu mwenzetu na kuondoka nae ambapo blog hii itaendelea kuwajulia taarifa kuhusiana na kile kilichomsibu mdada huyu














0 comments: