Mdada mwenzetu ajinyonga Tabata Barakuda eneo la karibia na msikitini
Kwanza samahanini kwa hii picha inahusu huyu dada wa kazi za nyumbani wa eneo la Tabata Barakuda aliyejiua jana saa moja usiku na bado chanzo hakijulikani |
Umati wa watu ulikusanyika kujua nini chanzo |
Watu wakiuchungulia mwili wa marehemu |
Inasemekana kuwa hilo ni tukio la pili kujitokeza katika eneo hilo |
Maaskari Polis wa kituo cha Rozana wakichukua maelezo |
Hapa kazi yao ikiendelea ya kuhoji wahusika |
Machela ya kubebea mwili wa marehemui ilifika |
Waliuingiza mwili wa mdada huyu mwenzetu na kuondoka nae ambapo blog hii itaendelea kuwajulia taarifa kuhusiana na kile kilichomsibu mdada huyu |
0 comments: