Mwanadada huyu baba yake mchaga mama mkorea amekzaliwa na kukulia Marekani kwa sasa karudi Bongo kutengeneza filamu za maisha ya wazazi wake.
Ni huyu kulia akiwa na mama yake (kulia kwake) akipewa zawadi ya maua wakati wa uzinduzi wa filamu hiyo |
Watu mbalimbali walikuwapo |
Add caption |
Walizindulia katika ukumbi wa cinema wa Slipway |
Natasha Nkokutangira mhariri wa Star alikuwepo |
Huyu ndo mwandaaji wa filamu hiyo akizungumza na wageni hao |
Habari Kamili.
Huyu Dada anaitwa Kimaro ni alizaliwa nchini Marekani wakati wazazi wake walipokuwa wakisoma nchini humo miaka ya 70 na kwa sasa ana uraia wa Marekani huyu dada ameamua kurudi kijijini kwao Moshi na kutengeneza filamu inayohusu maisha ya wazazi wake hao na uhusiano wao ulivyokuwa
0 comments: