TOP NEWS

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Maecenas mattis nisi felis, vel ullamcorper dolor. Integer iaculis nisi id nisl porta vestibulum.

Sunday 27 January 2013

Mdada Nancy Sumari Miss Tz wa zamani aanza mchakato wa kuwasaidia vijana kuhusiana na masuala ya ICT

Ilikuwa ni katika ofisi za KINU zilizopo eneo la Moroco, hii ni ofisi ambayo onawasaidia vijana katika masuala ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano sasa Nancy alikuwa mmoja kati ya walitoa mada kwa vijana 

Huyu ni mmoja kati ya wamiliki wa KINU akizungumza na vijana

Nancy yeye aliwaelezea umuhimu wa matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (ICT) ambapo hakusita kumsifia mumewe pembeni kuwa alimsaidia kwa kiasi kikubwa kuingia kaika fani hiyo

Yep she is still very cute lady na anawakilisha vema yani hachuji huyu dada keep it up

Wadada walivutiwa nae sana na kujikuta wakipiga nae picha mbalimbali

Wakati akitoa somo mumewe all the time alikuwa pembeni akifuatilia

Pia alipata nafasi ya kuzungumza na wadada mmoja mmoja


Wadau wa KINU wakiendelea kufuatilia


0 comments: