TOP NEWS

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Maecenas mattis nisi felis, vel ullamcorper dolor. Integer iaculis nisi id nisl porta vestibulum.

Saturday 15 December 2012

Kiota hiki ni kizuri kwa akina dada hasa ambao hawapendi vurugu

Kipo eneo la njia ya Mikocheni kutokea kwa njia ya Sayansi kuelekea kwa Mwalimu Nyerere mbele ya klabu ya La Fiesta panaitwa klabu 327





Kuna vyumba maalum kwa walaji wa kinywjai maalum

Mkurugenzi akiongea na waandishi wa habari waliofika siku ya uzinduzi

Hii ni klabu ya Hennessy ambapo chumba kama hiki mtu ukiingia unalipia laki tatu na unakuwa na watu wako sita tu tayari kwa kula bata mpaka asubuhi


0 comments: