Kiota hiki ni kizuri kwa akina dada hasa ambao hawapendi vurugu
| Kipo eneo la njia ya Mikocheni kutokea kwa njia ya Sayansi kuelekea kwa Mwalimu Nyerere mbele ya klabu ya La Fiesta panaitwa klabu 327 |
| Kuna vyumba maalum kwa walaji wa kinywjai maalum |
| Mkurugenzi akiongea na waandishi wa habari waliofika siku ya uzinduzi |
| Hii ni klabu ya Hennessy ambapo chumba kama hiki mtu ukiingia unalipia laki tatu na unakuwa na watu wako sita tu tayari kwa kula bata mpaka asubuhi |

0 comments: