Wadada wa Netiboli wa TZ wafanya kweli Singapore
| Hawa ndio ma bi shosti wenyewe ndio wametuwkailisha vema huko Sinagapore ambapo wanaume wa timu ya Taifa Stars wao wanaboronga tu lakini hawa madada wanafanya kazi kwelikweli hebu tuwasaidie |
| Walipata picha ya pamoja |
| Full kufurahia hapa walikuwa katika hotel ya Brue Pearl iliyopo Ubungo Plaza |
| Mama Bai akiwapatia somo kabla ya kauanza kugonga tea |

0 comments: