Wadada wa Netiboli wa TZ wafanya kweli Singapore
Hawa ndio ma bi shosti wenyewe ndio wametuwkailisha vema huko Sinagapore ambapo wanaume wa timu ya Taifa Stars wao wanaboronga tu lakini hawa madada wanafanya kazi kwelikweli hebu tuwasaidie |
Walipata picha ya pamoja |
Full kufurahia hapa walikuwa katika hotel ya Brue Pearl iliyopo Ubungo Plaza |
Mama Bai akiwapatia somo kabla ya kauanza kugonga tea |
0 comments: