TOP NEWS

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Maecenas mattis nisi felis, vel ullamcorper dolor. Integer iaculis nisi id nisl porta vestibulum.

Monday, 1 April 2013

Kundi la akinadada la The Trio kuendelea kusaidia jamii


KIONGOZI wa kundi la muziki la The Trio, Angela Karashani alisema kuwa kila msanii ana jukumu la kuihudumia jamii kwa hali na mali.

Angela alisema kuwa kwa kuwa wanajamii ndio wadau wakubwa wa kazi zao za sanaa wakiwa kama ndio wanunuzi wakubwa hivyo wasanii wanatakiwa kurudisha kidogo walichopata kwa wanajamii hao.

" Hii ni fursa kubwa kwa sisi kama wasanii kusikiliza na kujifunza mengi kutoka kwa watoto hawa na hivyo hata baadae tunaweza kutengeneza nyimbo za kuwasaidia watoto hawa" alisema Angela.

0 comments: