Harusi ya Juma na Alice
| Bibi. Harusi Alice, Matron Miriam na Maids wakiwa ktk pozi nje ya Glowrgeous saloon – Mbezi Beach |
| Mtu na Mtuwe wakiwa wametokelezea |
| Bwana na Bibi Juma Machanchu |
Hongereni
Bi. Alice na Bw. Juma kwa kufunga ndoa takatifu
|
| Wadada angalieni nilivyopendeza |
Tabasamu
kali sana
|
| Mrs. Miriam Gasper (Kushoto) akiwa na mume wake Gasper (Kulia) katikati Bwana harusi Juma Machanchu. |
| Tufungue sherehe yetu kwa maombi |
| Wakati wakutoa zawadi na kuselebuka |
| Cheki pozi ilo |
| Washereheshaji wa siku iyo ndani ya Lamada hoteli, Bi. Kristin na Getleman Makenge walifunika vibaya |

0 comments: