TOP NEWS

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Maecenas mattis nisi felis, vel ullamcorper dolor. Integer iaculis nisi id nisl porta vestibulum.

Monday, 21 January 2013

Harusi ya Juma na Alice

Bibi. Harusi Alice, Matron Miriam na Maids wakiwa ktk pozi nje ya Glowrgeous saloon – Mbezi  Beach
 Mtu na Mtuwe wakiwa wametokelezea

Bwana na Bibi Juma  Machanchu
Hongereni Bi. Alice na Bw. Juma kwa kufunga ndoa takatifu
Wadada angalieni nilivyopendeza 

Tabasamu kali sana
Mrs. Miriam Gasper (Kushoto) akiwa na mume wake Gasper (Kulia) katikati Bwana harusi Juma Machanchu.
Tufungue sherehe yetu kwa maombi
 Wakati wakutoa zawadi na kuselebuka
Cheki pozi ilo
 Washereheshaji wa siku iyo ndani ya Lamada hoteli, Bi. Kristin na Getleman Makenge walifunika vibaya



0 comments: