TOP NEWS

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Maecenas mattis nisi felis, vel ullamcorper dolor. Integer iaculis nisi id nisl porta vestibulum.

Sunday 20 January 2013

Wasanii wanawake walivyoshiriki katika kutetea haki zao leo

Msanii Batuli alisema hivi" Yani kwa sisi wasanii wanadada tunaweza kuwasaidia wanadada wenzetu kuwaelimisha kupitia sanaa, sasa basi tusinyonywe acheni tu uwakilishe vema"

MH!!! huyu mshosti nae haya lakini ndo mawazo yake




Jackiiii anapendezaje na maguni yake marefuuuu,    wasanii mbalimbali jana walijitokeza kulalamikia viwnago vya malipo ya kazi vilivyowekwa na Bodi ya Filamu na pia walilalamikia kuambiwa kuwa hawajasoma zaidi ingia www.elimuboratanzania.blogspot.com


Akaanza kuzungumza machache na wadau mbalimbali kuhusiana na wasanii wanavyobanwa katika kufanya kazi zao.    


 

0 comments: