Wasanii wanawake walivyoshiriki katika kutetea haki zao leo
Msanii Batuli alisema hivi" Yani kwa sisi wasanii wanadada tunaweza kuwasaidia wanadada wenzetu kuwaelimisha kupitia sanaa, sasa basi tusinyonywe acheni tu uwakilishe vema" |
MH!!! huyu mshosti nae haya lakini ndo mawazo yake |
Akaanza kuzungumza machache na wadau mbalimbali kuhusiana na wasanii wanavyobanwa katika kufanya kazi zao. |
0 comments: